HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 9, 2011

matumizi ya barabara zetu

hapa hii gari imesimama ikimsubiria konda wake ambaye yuko juu alifunga vizuri godoro la abiria wake huku magari mengine yakilazimika kupanga foleni kwa uzembe wa mtu mmoja.
hivi ni lini mambo yatakuwa poa hapa nchini kwetu na kudhibitiwa kwa madereva wazembe kama hawa??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad