HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 4, 2011

Bia za TBL sasa kuuzwa mpaka Zambia

Meneja Viwango wa TBL tawi la Mbeya,Bw. Gasto Christian akimkabidhi makaratasi ya vibali kwa dereva wa Lori lililokuwa likisafirisha bia aina ya Castle lager kwenda nchini Zambia,Bw. Edson Ndanga ikiwa ni usafirishaji wa kwanza kwa bia hiyo kwenda nchi hiyo ya jirani. Makabidhiano hayo yalifanyika siku za hivi karibuni katika kiwanda cha bia Tanzania,tawi la Mbeya siku za hivi karibuni.kulia ni utingo wa Lori hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad