Mwenyekiti wa Chama cha mchezo wa Tenes Inga Njau akitoa mada katika mkutano huo.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha mpira wa kikapu (BFT) Bw. Phares Magesa akitoa mada katika mkutano huo.
Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Bw. Leonard Thadeo akitoa mada katika mkutano huo, uliowakutanisha viongozi wa vyama vya michezo pamoja na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Mh. Dr. Emmanuel Nchimbi.
Baadhi ya washiriki wa michezo waliofika katika mkutano huo.
Picha na Full Shangwe Blog






No comments:
Post a Comment