HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 10, 2011

Waziri Nagu akutana na ujumbe kutoka China

Align CenterWaziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dr. Mary Nagu akizungumza na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya China, ulioambatana na Jumuiya ya wafanyabiashara wakubwa Duniani kutoka nchini China walipofika Ofisini kwake Jijini Dar es Salaa leo. Ujumbe huo umekuja kwa nia ya kujenga mahusiano makubwa baina ya Tanzania na China katika kuboresha na kuinua uchumi wa Tanzania kupitia Idara ya Uwekezaji na Uwezeshaji ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Baadhi ya wajumbe wa ujumbe huo kutoka China wakiwa katika Kikao na Waziri Nagu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad