HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 10, 2011

Wadau wakiwakilisha ndani ya Sauti Za Busara

Dj Bon Love (tatu shoto) pamoja na Mdau Abdallah (au tatu kulia) wakiwa na wadau wengine ndani ya ngome kongwe usiku huu kwenye tamasha la Sauti Za Busara 2011.
Mkuu wa Itifaki Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye akiwa na Miss Afrika & Australia,Zaituni (kati) pamoja na Mama yake Bi. Amina wakiwa ndani ya Ngome Kongwe wakifuatilia Tamasha la Sauti za Busara 2011.
Watu weweeeeeee...........

2 comments:

Post Bottom Ad