HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, January 28, 2011

upendo wa dhati

huu ni upendo wa dhati kabisa anaouonyesha kijana huyu ambaye ni mlemavu kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu.hapa alikuwa akimvisha mkufu aliokuwa amepewa na mmoja wa wapita njia katika barabara ya Morogoro Rodi mchana wa leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad