HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 10, 2011

swali la kizushi kwa wanaolijua vyema jiji la dar

mnaweza kutambua hii ni barabara gani na ipo wapi katika jiji la dar???

3 comments:

  1. hapa ni barabara inayotoka masaki kuelekea obay via coco beach.

    ReplyDelete
  2. hii ni toure drive, kuelekea hotel ya sea-cliff, na vile vigorofa pale ni yale yalikula nyundo wakati wa utawala wa uncle BEN

    ReplyDelete
  3. Nasikia hapo pembeni wanataka kuweka WInd Power ya umeme?

    ReplyDelete

Post Bottom Ad