hahah huyo kaishiwa wese, yaani hapo kafungua duka gelesha tuu, kumbe kachukua kidumu cha 1.5lita kufuata kiwese
Hili ndio tatizo la kutojua sheria za barabara au hata udereva kwa ujumla, sasa kwanini asilisukume pembeni kidogo ili watumiaji wengine wa barabara wapite bila usumbufu? hivi ndio vitu vingine vya kipuuzi vinavyosababisha foleni zisizo kwisha
hahah huyo kaishiwa wese, yaani hapo kafungua duka gelesha tuu, kumbe kachukua kidumu cha 1.5lita kufuata kiwese
ReplyDeleteHili ndio tatizo la kutojua sheria za barabara au hata udereva kwa ujumla, sasa kwanini asilisukume pembeni kidogo ili watumiaji wengine wa barabara wapite bila usumbufu? hivi ndio vitu vingine vya kipuuzi vinavyosababisha foleni zisizo kwisha
ReplyDelete