Si mnadai Tanzania kuna AMANI?!!!! hiyo ndo amani yenyewe sasa, hii nchi hii muda si mrefu watu watashika mitutu wazichape live bila chengaMtg
Wanapewa amri na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe Dr. Jakaya Kikwete!!!!!!
mambo hayo imetufanya tuhamie ughaibuni bwana
Wanaondolewa machinga wa kigeni ili wenyeji wachukue nafasi zao..Kwa dhiki na matatizo mtu anajitafutia riziki yake inakuwa taabu Je safari tuendayo tutafika kweliDunda
Si mnadai Tanzania kuna AMANI?!!!! hiyo ndo amani yenyewe sasa, hii nchi hii muda si mrefu watu watashika mitutu wazichape live bila chenga
ReplyDeleteMtg
Wanapewa amri na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe Dr. Jakaya Kikwete!!!!!!
ReplyDeletemambo hayo imetufanya tuhamie ughaibuni bwana
ReplyDeleteWanaondolewa machinga wa kigeni ili wenyeji wachukue nafasi zao..Kwa dhiki na matatizo mtu anajitafutia riziki yake inakuwa taabu Je safari tuendayo tutafika kweli
ReplyDeleteDunda