HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 18, 2010

Flaviana Matata ndani ya nyumba

Katika katiza katiza zangu za Mtaa kwa Mtaa nilifanikiwa kufika katika uwanja wa ndege wa J.K. Nyerere Intaneshno Eapoti na kukutana ana Mwanamitindo huyu (Flaviana Matata) akiwasili nchini akitokea huko Marekani anakoendeleza libeneke lake la Mitindo kwa sasa.

1 comment:

Post Bottom Ad