Baadhi ya watoto wakivuka eneo la wapitao kwa miguu katika Barabara ya Msamvu , mjini Morogoro wakiwa na mzingo mkubwa wa chupa tupu za maji baada ya kuziokota toka maeneo ya baa na vioski eneo la Msamvu, Manispaa ya Morogoro kama walivyokutwa mwishoni mwa wiki katika eneo hilo. Picha zote na John Nditi
No comments:
Post a Comment