Wafanya biashara ndogo ndogo waliokuwa wameondolewa katika sehemu ya nje ya jengo la soko kuu la Kariakoo,jijini Dar wakionekana kurudi taratibu tarabu katika eneo hilo kama walivyokutwa na kamera ya mtaa kwa mtaa.
watakula wapi wafukuzwe pia wapewe eneo lingine la kufanyia biashara
ReplyDelete