HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 2, 2010

pigo lingine kwa wanahabari,Redemptus Angelo afariki dunia

MAREHEMU REDEMPTUS ANGELO

Uongozi wa Kampuni ya MEDIA SOLUTIONS LTD wachapishaji wa magazeti ya ThisDay na KuliKoni unasikitika kuwatangazia kifo cha ghafla cha mfanyakazi wake, Redemptus Angelo kulichotokea Jumapili Agosti 01, 2010 Saa 4.00 usiku katika Hospitali ya Mwananyamala.

Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwake Tegeta,
Dar es Salaam na taarifa zaidi zitatolewa baadaye.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad