HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 2, 2010

fiesta jipanguse 2010 ndani ya jiji la mawe

Kutoka kundi la Wanaume TMK halisi likiongozwa na Juma Nature kati wakilishambulia jukwaa kwa namna ya kipekee kabisa.
Mkali wa Hip Hop Fid Q a.k.a Ngosha akikamua jukwaani.
Wadau wakigombea koti la Msanii Roma mara baada ya kulirusha.
Maelfu ya watu kutoka pande mbalimbali za jiji la Mwanza ndani ya ccm kirumba.
Wasanii kutoka River Camp Soldier,Joe Makini na G wala wala wakilivamia jukwaa kwa mistari yao safi kabisa ya kihip hop.
Mdau wa Clouds TV amabayo kwa sasa iko katika majaribio kwa jijini Dar,akichukua matukio mbalimbali ya tamasha la Fiesta jipanguse 2010.
Wasanii wa kundi la Offside Trick kutoka Zenji,wakiwaimbia wakazi wa kanda ya Ziwa waliofurika kwa wingi katika tamasha la fiesta jipanguse 2010,kuhusu wimbo wao wa bata ambao tayari umekwisazua gumzo kisiwani Zanzibar.
Rrrhhaaaa zikizidi mpango mzima huwa kama hivi,chini juu,juu chiini aahh freeshh.!
Wadau wakichangamkia mfalme wa raha kamili .
Anaitwa Bell 9,kichwa kingine katika anga ya muziki wa bongofleva kikitokea mkoani Moro,akiwarusha washabiki na wapenzi wake waliofurika ndani ya uwanja wa ccm kirumba kupitia wimbo wake wa Masogange na nyinginezo.kwa picha zaidi tembelea HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad