HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 29, 2010

Timu ya Taifa ya Kriketi Yaondoka Nchini Leo Kuelekea Italy

Mwenyekiti wa baraza la michezo la Taifa,Idd Kipingu akikabidhi bendera kwa timu ya Taifa ya Kriket ambayo imeondoka nchini leo kwenda nchini Italia kushiriki mashindano ya dunia ya mchezo wa kreketi daraja la nne yanayotarajia kuanza tarehe 14 augusti 2010.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad