HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 14, 2010

Rais Jakaya Kikwete akutana wasanii bongo fleva mjini dodoma

JK akisalimiana na Ruge Mutahaba ambaye ni kiongozi wa Nyumba ya Vipaji (THT) ambaye yuko Dodoma na wasanii nyota kibao ambao watatumbuiza wikiendi hii kwenye Fiesta 2010. Jana JK aliwaalika Ikulu Ndogo ya Chamwino na kupata nao dina la mchanaJK akisalimiana na MarlawJK akisalimiana na Michael Carter Mlingwa (MX)JK akisalimiana na Chegge
JK akisalimiana na Fid Q
JK na Cpwaa
JK na Mh. Temba
JK akipeana mikono na Dully Sykes
JK na Mwanafalsafa
JK na Barnaba wa THT
JK na wasanii
JK na mwamba wa Kaskazini Joe Makini
JK akisalimiana na msanii wa THT
Mama Salma Kikwete akimsalimu Marlaw
Mama Salma Kikwete akisalimia wasanii
Ni wakati wa maakuli

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad