Wanamitindo tofauti tofauti kutoka jijini Dar es Salaam wakipita jukwaani na mavazi ya mbunifu maarufu Tanzania na duniani Mustafa Hassanali wakati wa Onesho maalum la mavazi kuchangia Hospitali ya wagonjwa wa akili Zanzibar iliyofanyika Serena Hotel.
(picha zote na Father Kidevu Blog)
No comments:
Post a Comment