HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 19, 2010

Mambo Yalivyokuwa Zenjy

Ndani ya Chombo kurejea zetu Dar,nilie nae hapo ni Mdau Titto toka WaHapaHapa.
toka shoto ni,meneja wa ZIFF( Dan Nyalusi),Joyce Kiria,Mkurugenzi wa ZIFF.Prof. Martin Mhando,Gervas Kasiga,Yvonne Cherry (Monalisa) pamoja na Mie mwenyewe tulipokutana ndani ya Ofisi za ZIFF zilizopo ndani ya Ngome Kongwe,Zanzibar.
Mie,Juma (Zoba) na Hassan
nikikata kiu na kokakola baridi kabisa,maana jua lilikuwa linawaka mpaka basi.
nikipata msosi wa Forondani tayari kwa kwenda kupiga mzigo,huyu alie jirani nami ni Mdau Pascal wa huko huko zenjy.
Nikiendeleza libeneke la Mtaa Kwa Mtaa katima maeneo ya mji mkongwe.
nataka mitaa ya Mchamba wima,kuelekea maeneo ya Darajani.
toka kulia ni Juliet,Hassan, mie na Betrice ndani ya Forodhani.
Mie,Zoba na Linda
Mie,Neema Mmanga na Pascal Mabagala.
Mie nikiwa na Roges,Mdau pamoja na Marlow.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad