HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 19, 2010

Kitu Kipya Kabisa Kinakuja Dar

Je, Wataka kukijuaaa........????
kama unataka kukijua ni kitu gani,basi endelea kuhesabu hizo siku zilizobakia na utakiona,utakifurahi na kukipenda pia.mpaka leo zimesalia siku nne tu kuweza kuoneka na kufahamika kwa hicho kitu,hivyo ndugu mdau endelea kuvuta subira na utaona mwenyewe na si kuhadithiwa tena.

1 comment:

  1. Hiyo ni sanamu ya mgombea mwenza wa sisiem Dk Ghalib Bilal si mtaonaaa

    ReplyDelete

Post Bottom Ad