HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 1, 2010

Haya Sasa Ni Masihara..!!

Kamera ya Mtaa Kwa Mtaa ilimyaka huyu jamaa akiwa amesimama barabarani huku akiongea na simu tena bila hata wasi wasi kwamba hapo aliposimama hapastahili kabisa kusimama maana sio kila anaetumia njia hizi anakuwa na mawazo kama ya huyu jamaa.sasa sijui akila buyu hapa atalalamika kwamba huyo dereva hakumuona au sijui itakuwa vipi?

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad