HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 9, 2010

Fiesta Jipanguseee ilivyonoga mji kasoro Bahari

Msanii wa hip hop Fid Q akimuimbisha shabiki wake jukwaani
Diamond akiwaimbia wakazi wa Moro wimbo wake wa mbagala ambao uliwavutia wengi
palikuwa hapatoshi jukwaani
Msaniii chipuzi mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond akijianda na skwadi lake kupanda jukwaani kufanya mashambulizi ya nguvu
miluzi na mikono hewani kila walipokunwa kiaina
Mwenyeji wa wasanii kutoka Morogoro,Belle 9 jukwaani
Msanii mahiri wa Hip Hop ,Mwana FA akifloo mbele ya wshabiki wa Moro waliofurika ndani ya waunja Jamhuri
Rekodi hii namiini kabisa haitavunjwa na burudani ya aina yoyote mjini moro
Barnaba na Lina wote kutoka THT wakilishambulia jukwaa kwa staili ya kipekee iliyowavutia washabiki uwanjani hapo
Nyomi la kufa mtu haijawahi kutokea
Barnaba nae kutoka nyumba ya vipaji akiimba kwa ustadi mkubwa
Msanii kutoka THT,Amin akiwaimbia wakazi wa moro ndani ya uwanja wa jamhuri wimbo wake wa robo saa
Palikuwa hapatoshi na raha ya burudani ya jipanguse kutoka kwa THT
Ama kwa hakika watu walijaa pomoni,haijawahi kutokea katika onyesho lolote mkoani Morogoro
Wasanii wa muziki kutoka kundi la Tip Top Conections wakilishambulia jukwaa kwa pamoja

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad