na hawa waliokuja kuweka hayo maneno hapo walikuwa wapi wakati likiwekwa mpaka leo wanafika kuandika hivyo??na kwanini kama waliona limewekwa kimakosa katika sehemu hiyo wasilitoe??hapa ni kwenye mzunguko wa raundi abauti ya Zanaki na Jamruri.
No comments:
Post a Comment