HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 21, 2010

Rais Kikwete Achukua Fomu Ya Kugombea Urais Kwa Awamu Nyingine Leo

Rais Jakaya Kikwete akipokea fomu za kugombea urais toka kwa katibu
mkuu wa CCM Mh. Yusuf Makamba mchana huu dodoma
Rais Kikwete akipeana mkono na Katibu mkuu wa CCM mara Mh. Yusuf Makamba mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kugombea Urais
Rais Jakaya Kikwete akionyesha fomu kwa umati mkubwa wa wana CCM
waliojitokeza kushuhudia hafla hii mjini Dodoma leo.
Mama Salma na watoto walikuwepo kushuhudia
Mama Salma Kikwete na Mama Pinda katika hafla hii
Vijana wa UVCCM wakihakikia kadi za wanachama wanaomdhamini Rais Jakaya Kikwete
Uhakiki wa wadhamini wa Rais Jakaya Kikwete waendelea

wengi wajitokeza kumdhamini Rais Jakaya Kikwete
Uhakiki wa wadhamini wa Rais Jakaya Kikwete unafanyika kwa umakini mkubwa.
foleni ya wana CCM wanaotaka kumdhamini Rais Jakaya Kikwete mjini Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad