HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 25, 2010

Jangwani Mwendo Mdundo

sehemu ya daraja lililowekwa baada ya kuchongwa kwa barabara ya moja kwa moja kutokea kariakoo mpaka ubungo maziwa.
japo bado lami haijawekwa lakini gari zinatembea vyema kabisa.
ni rahisi pia hata kwa watembea kwa miguu.
kumenyooka hadi raha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad