
Mtandaowako uupendaoulikuwa na ujumbe kuwa UKO KWENYE MATENGENEZO. Hilo halikuwa tangazo rasmi, bali ilikuwa ni ishara kuwa kuna matatizo ya kiufundi, ambayo tunasikitika kusema yalikuwa nje ya uwezo wetu na yamechukua muda mrefu kuliko tulivyotarajia.
Hata hivyo, baadaya jitihada kali kufanyika za kurekebisha hali hiyo, hatimayetumerudi tena hewani na tunaendelea kukuhabarishayote yanayojiri Bongo.
Tunawashukuru kwa uvumilivu wenu, tunawaomba radhikwa usumbufu mkubwa mlioupata. Hatuna la kusema,zaidi ya kuwaomba radhi na kuwapa kile mlichokikosakwa muda huo!Asanteni sana
WEB MASTER
GPL.
No comments:
Post a Comment