
Keki la Besdei hiloo
Mwamvita Makamba akikata keki yake ya Birthday

Mwamvita akijichana msosi

Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare akifurahia jambo mara baada ya kupewa kekiz na Mwamvita (kulia)

Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakijichana cake kwenye birthday ya mfanyakazi mwenzao Mwamvita Makamba.
No comments:
Post a Comment