HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 14, 2010

Bajaj Chaliii

Bajaj ikiwa imekula mbavu mara baada ya kupigwa pande na ndinga wakati ikiwahi kijiweni kwake maeneo ya sinza.
wasamalia wakifanya kazi yao kama ya siku zote.
ahsante ya picha toka kwa Muhidin Sufiani anaepatikana hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad