HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 10, 2010

Ajali Nyingine Ya Moto Yatokea Tabata Shule Leo

Askari wa Faya wakizima moto uliokuwa ukiwaka katika nyumba moja iliopo maeneo ya Tabata Shule leo,chanzo cha moto huo inasemekana ni shoti ta umeme iliyotokea katika moja vyuomba vilivyomo katika nyumba hiyo.hakuna aliedhulika na moto huowanausalama walikuwepo kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa. msela akicheki kama ataibuka na chochote kitu katika sehemu iliyokuwa na duka la urembo
majirani wakiwa katika masikitiko
askari wa Faya akufunga maji mara baada ya Paipu kuchomoka.
sehemu ya nyuma ya nyumba hiyo wakati vitu vingine vikiokolewa.
sehemu ya duka la vifaa vya ujenzi....
umati wa wakazi wa jirani na maeneo hayo ya tukio wakitahamaki kuona tukio hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad