HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 27, 2010

Machinga Complex

jengo jipya na la kisasa kabisa kwa ajili ya wafanya biashara ndogo ndogo maarufu kama wamachinga,lionekanavyo sasa baada ya kumalizika kwa ujenzi.sijui ni lini litafunguliwa rasmi na kuanza kupiga mzigo??maana naona kama vile wamelichunia!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad