HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 2, 2010

Flava Nite @ Mzalendo Pub Jumamosi hii

mshindi wa kulisakata vyema duara kwa kuichezesha nyonga yake akiwa na zawadi yake
mshindi wa kata nyonga akikabidhiwa zawadi yake toka kwa mdau Sam huku dada Detha akishuhudia.
Super na Detha katika kusakata magoma
mtasha katika mduara
mambo imekolea
raha ya mduara ni kushika na kusikamanaaaaa.......
kwaitozzz.oldizz
yenu limekoleaa
ukifika Mzalendo pub katika usiku wa ladha ni lazima usuuzike na roho yako maana unapata ile kitu roho yako inataka na wala huwezi kupata sehemu nyingine yeyote ile.sasa fanya hima kutia timu j1 ijayo kama hii ilikupiga chenga.

***FLAVA NITE***

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad