HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 5, 2010

Chombo Kimepoteza Muelekeo

chombo kikiwa kimepoteza muelekeo na kuingia kichakani
chombo kikiwa kimejiegesha pembezoni mwa barabara kuu ya mikoani ifahamikayo kama Morogoro road katika eneo la kibamba,mara baada ya dereva wake kushindwa kulikontroo wakati likitembea.hakuna aliedhulika katika ajali hii.
kileeee......

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad