HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 6, 2010

Anafanya Mpango Wa Kuziba Handaki

mkazi wa Mikocheni B ambaye jina lake halikufahamika mara moja,alikutwa na kamera ya Mtaa Kwa Mtaa katika eneo hilo la Mikocheni B akishusha vipande vya matofali kwa ajili ya kuziba shimo lililopo katikato ya barabara ya old Bagamoyo rodi katika eneo hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad