HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 18, 2010

Wadau Kibao Walikuwepo Mzalendo Pub

Venture akiwa na warembo ambao ni mastaa wa Movie wakiongozwa na Aunt Ezekiel (wa kwanza kushoto).
warembo
Mie na staa wa Muvi,Aunt Ezekiel tukiwakilisha ndani ya Flava Nite @ Mzalendo pub
Dj Mackay na Mrembo
toka kulia ni Habib (Sunday),Tambwe na mdau
Jay,Godfrey na mtangazaji wa Magic Fm.
Wadau wa Exective Solutions,shoto ni Irene na kulia ni Carol
Paul James a.k.a mzee wa mchereee akiwa na mai nanihii wake
Mie na super model Lucy
Chacha Maginga akibadilishana mawazo na Dj Bon Lov
Martin,Lucky,anko Taji Liundi
Samira,Nafisa na Martin
vichwa makini katika nyanja ya utangazaji,toka shoto ni Isack Gamba,George Njogopa na Aboubakar Liongo wakigonga mishkaki huku wakisikiliza magoma ya Flava Nite @ Mzalendo pub usiku wa kuamkia leo.
George Luanda na nduguye Walter Luanda
Dj Don na wadau wa Overmeer wakiwakilisha kwa pamoja.
Mdau na mai nanihii wake
mdau Joe na Shemeji
Juddah,Shemeji na Mshkaji.

1 comment:

  1. WEKAAAAAAAAAA MATOKEOOOOOOOOOOOOOOO NA KOMBE LETUUUUUUUUUUU HAHAHAHAAHAHAH PAZI. KAMA LIVERPOOL YA 80 vile.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad