HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 21, 2010

Kimelia Hapo

jamaa kaiingia kwa nyuma ndinga ya wale jamaa wavaa za mabaka (waangalie kwa pembeni pale wakichora mchoro wa ajali),halafu hawakutaka nini wala nini
hii ndio tabu ya kwenda mbio zisizo na msingi,sasa mcheki jamaa anavyojitetea pale kati wa wazee wa kazi,yaani hadi unamuonea huruma.

1 comment:

Post Bottom Ad