HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 27, 2010

Wadau Kibao Walikuwepo Zhonghua Garden

Mzee wa Mtaa kwa Mtaa akutana uso kwa uso na Darda King ambaye kwa sasa yuko hapa Bongo kwa mapumziko mafupi,Darda King ni mwanamuziki anaendeleza libeneke lake huko nchini Marekani.Bonyeza HAPA kuona vitu vyake.
toka shoto ni Sam wa Machozi Band,Mdau kutoka Twanga Pepeta pamoja na Mzee wa kazi King Kif wakiwakilisha vilivyo ndani ya Zhong hua usiku huu.
Chaoga Tonge akiwa na best wake wa longi taimu
Mie na Judah Kilosa
Mdau Fanuel akiwa na warembo
warembo katika mapozz ya ukweli
Chaoga tena(kulia) akiwa na mshkaji wake Enock ndani ya Zhong hua Garden katika usiku wa Machozi Band

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad