
iliyofanyika leo asubuhi ametoka chuo kikuu cha Tumaini Iringa.
Witness Lucas mwanafunzi wa mwaka wa pili faculty of Education ameshinda zawadi ya kila wiki ijulikanayo NITASOMA MOBILE .
Wanafunzi wana shauriwa kushiriki ili kujishindia zawadi hizo mbalimbali zitakazo wasaidia kujiendeleza kielimu. Kupaitia ujumbe NITASOMA kwenda 15767
Kwa maelezo ya kina nenda:
ELIMU KWANZA
No comments:
Post a Comment