HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 16, 2010

Mafundi Wapiga Kazi

leo nilipokuwa katika pilika pilika zangu za kila siku niliibukia mtaa wa India pembezoni mwa Hospital ya Hindu Mandal na kukutana na mafundi hawa wakipiga finishingi jengo hili,ila hili jengo limejengwa fasta kwelikweli.

4 comments:

  1. fasta sio tatizo limekaguliwa lisije likawa kama lile jengo la mafia

    ReplyDelete
  2. Mmmmhhhh! kazi hizi jamani, maana hapa wakiangua duh!! Jengo laonekana kupendeza.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad