HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 20, 2010

Mabango Ya Kakobe Yapigwa Chini

Askari Polisi akiwa katika doria wakati Tanesco kwa kushirikiana na watu wa Tanroads Dar es Salaam walipikuwa wakiyaondoa mabango marefu ya Kanisa la Full Gospel Bible Felowship la Mchungaji Zachari Kakobe yaliyokuwa katika njia mpya ya kupitisha umeme mkubwa kando kando ya barabara ya Sum Nujoma
msela akiwa amejifadhili taa moja wako iliyokuwa ikimulika bango hizo.
bango chaliii.....

Picha zote na Father Kidevu Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad