HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 28, 2010

Hepi Besdei Ya Dj Bon Love Yafana Sana Leo

Dj Bon Love na mkewe Sabah Kiobya wakikata keki
Dj Bon Love akishirikiana na mkewe Sabah kumlisha Kekizz Mzee wa Mtaa Kwa Mtaa
Dj Bon na Fidelin
Dj Bon akimlisha keki mwanadada nanihii huku mwingine akisubiria zamu yake
Mr & Mrs Bon Love wakiwa pamoja na mdau Tom na maifu wake katika besdei pati ya Dj Bon Love iliyofanyika usiku huu pale Mzalendo Pubwimbo wa Besdei ukiendelea kuimbwa na wadau
Bon Love akilisha kipande cha keki Mackay

"raha ya keki ni kula kwa mkono yakheee"hivyo ndizyo alivyokuwa akiongea Gerald Hando
Frank akijiandaa kula kekizz
haa...!! yote hii??...Dj Bon Love akimlisha keki Dj Bon Venture
"haya na wewe Zoba kula keki"
mzee wa Hala 5 nae alikuwepo
Dj Bon Love akimlisha Keki mwanadafada Husna ikiwa katika kusherehekea hepi besdei yake ya kuzaliwa iliyofanyika usiku huu katika kiota cha maraha cha Mzalendo Pub.Mwanamitindo Khadija Mwanamboka akiwa na Mdau
Dj Venture akiwa na wageni wake
hapa ni kicheko tuuusuper Model Martin kulia na mshkaji wake,wote wakiwakilisha ndani ya Flava Nite.
Mshkaji,Daniel pamoja na Jay
warembo kutoka DTB nao walikuwepo
Dj Venture na Flowers
Dj Oscer na Husna
Mdau ,Mzushi,Sabah pamoja na Besdei Boy Bon Love akiwa na ua lake la besdei
Venture (wapili kulia) akiwa na washkaji zake waliofika Mzaleondo Pub usiku huu katika usiku wa maflava

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad