Hebu nipigie mtaa wa nyamwezi kibarabara kile kuanzia kwa muchacho kuelekea petrol station nilikuwan ikikaa hapo zamani sana nipo nje ya nchi plz othman nakuaminia.
Othman ujue umeniacha njia panda??? mtaa wa mafia ni kwetu ila hapo sijui ni kipande kipi, yaani nimechungulia ile posta sijaiona so sijapajua hebu nipe hint
Anonymous,March 26,2010 6:33 PM wala usikonde nitafanya hivyo na naamini utafurahi kuona home kwenu kwa siku nyingi.
@MTG nawe kwa kupotea kwenuuu..!!! yaani kila siku hukumbuki kwenu??utaibiwa wewe...!hapo ni kama unatokea Mzizima mwisho na kuja Msimbazi.picha hiyo nimeipiga nikiwa nimesimama katika makutano ya mtaa wa Jangwani na Mafia.nafikiri umenipata wangu?
Kwakwakwkawa hahahahaha Othman unauwa sasa Mie mdau wa Kwanza Unajuwa tena huyo Kigeti kidogo kikali wanafunga na kufunguwa na kufulu. akiingia kwenye Gari lao Prado inakibendera kinapepea anapelekwa anapopelekwa akirudi ndani. asije kukutana na wakina sie tusije kumuacha barabarani kuvuka hawezi. Mwinyi.
Hebu nipigie mtaa wa nyamwezi kibarabara kile kuanzia kwa muchacho kuelekea petrol station nilikuwan ikikaa hapo zamani sana nipo nje ya nchi plz othman nakuaminia.
ReplyDeleteOthman ujue umeniacha njia panda??? mtaa wa mafia ni kwetu ila hapo sijui ni kipande kipi, yaani nimechungulia ile posta sijaiona so sijapajua hebu nipe hint
ReplyDeleteMtg
Anonymous,March 26,2010 6:33 PM
ReplyDeletewala usikonde nitafanya hivyo na naamini utafurahi kuona home kwenu kwa siku nyingi.
@MTG nawe kwa kupotea kwenuuu..!!! yaani kila siku hukumbuki kwenu??utaibiwa wewe...!hapo ni kama unatokea Mzizima mwisho na kuja Msimbazi.picha hiyo nimeipiga nikiwa nimesimama katika makutano ya mtaa wa Jangwani na Mafia.nafikiri umenipata wangu?
Kwakwakwkawa hahahahaha Othman unauwa sasa Mie mdau wa Kwanza Unajuwa tena huyo Kigeti kidogo kikali wanafunga na kufunguwa na kufulu. akiingia kwenye Gari lao Prado inakibendera kinapepea anapelekwa anapopelekwa akirudi ndani. asije kukutana na wakina sie tusije kumuacha barabarani kuvuka hawezi. Mwinyi.
ReplyDeleteyaani nimechungulia ndo nimevuta picha upande wa kushoto ni kwa kina marehemu seleman mensa kulia juma mtambo nshapaona vizuuuuri sasa
ReplyDeleteMtg