HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 20, 2009

Daily News Ya Zamani Yaanza Kula Nyundozz

jengo la zamani la ofisi za magazeti ya Serikali ya Daily News,lililopo mtaa wa azikiwe limeanza kula nyundo rasmi kwa kupisha ujenzi wa jengo lingine la kisasa.mpaka sasa bado sijapata fununu ya kitu gani kinachokuja hapo baada ya jengo hili kula nyundo,nikizinasa za uhakika tutajuzana kama kawa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad