ni siku nyingi nimekuwa nikijiuliza hivi meli huwaga inaendeshwaje?sasa leo ndio nimepata jibu kuwa ukitaka kuendesha meli ni lazima ulale ili meli ikae sawa katika njia yake kama alivyokutwa Nahodha huyu wa Mv. Seagal iendandayo Zenj.
No comments:
Post a Comment