
mtu nyomi kila ifikapo j,pili hapa coco

bustani ya ufukweni nayo yazidi pendezesha fukwe yetu ya coco bichi

kabachori,urojo,bagia na vitu vingine kibao huwaga havikososi hapa coco

kila mtu yuko huru kwa kujiachia atakavyo coco bichi

ndondi nazo kama kawa,hapo sio za uongo uongo ni ukweli ukweliii
No comments:
Post a Comment