HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 12, 2009

nimerejea wadau wangu

kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu,nilishindwa kabisa kuwafikishia mambo mengi katika mtandao wetu huu,kwa sasa mambo yote yako poa na libeneke litaendelea kama kawaida.hapa nilipo ni kwenye raundi abauti ya mzunguko wa magari na pilikipi iliyopo jijini Mbeya ambapo nilikuwepo siku za hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad