HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 16, 2009

mitaa ya kati jijini mbeya


niko mitaa ya kati katika jiji la Mbeya na msela wangu Ally ambapo nilikuwa huko kwa vekesheni fupi,msela wangu huyu nae ameamua kujichanganya katika libeneke la kublogu kwa spidi ya ajabu,ambapo anapatikana katika wanja lake hilo kwa kubofya hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad