HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 21, 2009

hii sasa noma

maana unapata pancha sehemu ambayo hata hukuitegemea,halafu spea tairi nimeiacha kwa mziba pancha ambapo nilitegemea kuwa nikimaliza mizunguko yangu ndio niipite,duu sijui itakuwaje hapa?

1 comment:

  1. Aiseee hapo ni hatari hivi umepata wazo kwamba mtu anaweza kukupitia maana uko karibu sana na barabara??? Pole sana. Sasa ulifanyaje?

    ReplyDelete

Post Bottom Ad