HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, March 29, 2009

Ni Madereva Wangapi Wanapitia Vyuoni Kujifunza Udereva?

michili ni moja ya magali ya kujifunzia udereva kwa daraja la leseni aina C,ambapo mafunzo yapatikanayo ndani ya ndinga hii ni pamoja na kuweza kuendesha magari yabebayo abiria na mengine.sasa swali langu ni kwa madereva waliowengi wanaoendesha magari yabebayo abiria,je madereva hao ni kweli wamepitia huku???

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad