HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 25, 2009

Mtaa Wa Mkunguni

mazingiraHuu ni moja kati ya mitaa mingi iliyopo kariakoo ukiwa hoi kwa uchafu uliokithiri kutokana na kuchafuliwa na wafanya biashara ndogondogo. halafu hapohapo kuna watu wanaolipwa kwa kufanya usafi katika mitaa hii,sasa sijui wahusika wanalichukuliaje hili?

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad