PIA NITAENDELEZA LIBENEKE LA SALAMU KWA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI AU KAMA UNATAKA KUNUNUA KITU AU KUUZA KITU PAMOJA NA MISAADA KWENYE MATUTA, MSISITE KUNITUMIA KUPITIA EMAIL YANGU YA jamiothman@gmail.com.
NAWASHUKURU WADAU WOTE KWA MICHANGO YENU KUBWA LIKIWA NI PAMOJA NA KUTEMBELEA BLOG HII KILA SIKU. NAAHIDI KUENDELEA KUWALETEA PICHA NA HABARI ZA JAMII KAMA KAWAIDA HUKU NIKIHESHIMU NA KUTHAMINI MCHANGO WA KILA MMOJA.
NAKARIBISHA MAONI NA USHAURI ILI KUFANIKISHA AWAMU HII IJAYO...
NAOMBA KUWASILISHA
OTHMAN MICHUZI
OTHMAN MICHUZI
I recently came across your blog and have been reading along. I thought I would leave my first comment. I don't know what to say except that I have enjoyed reading. Nice blog. I will keep visiting this blog very often.
ReplyDeleteHabari gani rafiki yangu ??
ReplyDeleteBlog mzuri sana.
Ningekuwa Dar es Salaam wezi watatu.
salamu:)