HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 20, 2008

Mdau


nilifarijika sana siku ya jana pindi nilipokutana na mwananchi wa kijijiji hiki na pia mkazi wa kijiji cha jirani cha Fotobaraza anayefahamika kwa jina la Magere,ambaye amekuja hapa nchini kwa vekesheni fupi akitokea nchini Ujerumani anakopiga mzigo na ndipo yalipo makazi yake kwa sasa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad